DEC Alumni

 



TESTIMONIALS FROM DEC ALUMNI





"Is a centre to predict a best future
at this moment
is a centre wher I can improve my
academic performance/
This place looks like a gift
from Angels to our lives
I love and wish a long life to it"- Bakari Kamsomba -









"Mpaka sasa nasoma hapo na wanafundisha vizuri                                 katika masomo ya SCIENCE
chini ya uongozi wa walimu waliobobea
Sir. Banka and Master Jovin"- Goodluck Mrosso -




                 "Nilipofika tuition nilikuta walimu 
wenye uzoefu mkubwa wa kutufundisha
tuition imenisaidia sana vitu vingi
nilivyokuwa sivijui"- Aisha Ally -










"Distinction imenisaidia sana
nilikuwa sina mwanga wowote                                                   

kuhusu masomo ya sekondari
lakini Distinction imeniwezesha
sasa nafanya vizuri katika masomo yangu"- Asia Mustafa -











"Kwa upande wa mazingira ni mazuri sana
na yana ridhisha katika usomaji na ufundishaji"- Joseph Kibiki
-




Comments